Miradi Mipya

3
0

Wekeza kwenye ardhi ya kigamboni kimbiji (potea)

TZS3,400,000.00 - TZS 5,958,500.00

  • No Prerequisites Needed
0
0

Kigamboni Dege Eco Beach kumenoga

TZS10,440,000.00 - TZS 25,260,000.00

Perfect Properties inakuletea mradi wa kipekee wa viwanja vilivyopo Kigamboni Dege Eco Beach. Furahia fursa ya kumiliki kiwanja chenye huduma muhimu karibu nawe na mazingira mazuri yanayokupa amani na utulivu wa kiasili.

  • No Prerequisites Needed
0
0

Umeharibikiwa na gari?

No fee

Umeharibikiwa na gari? Usijali! Bluetick Technologies Ltd inakupa suluhisho bora kupitia bima ya gari inayopatikana kutoka kwa mawakala wetu wenye ujuzi na weledi.Faida za Bima ya Gari ya Bluetick Technologies Ltd:Huduma za Haraka na Ufanisi: Tunatoa huduma za haraka na bora kuhakikisha gari lako linarejeshwa katika hali nzuri haraka iwezekanavyo.Ushauri wa Wataalamu: Mawakala wetu ni wataalamu waliofunzwa vyema ambao watakushauri na kukusaidia kuchagua mpango bora wa bima unaokidhi mahitaji yako.Upatikanaji Rahisi: Tunaweka mchakato wa kupata bima rahisi na wazi, bila usumbufu.Huduma kwa Wateja: Timu yetu ya huduma kwa wateja inapatikana kila wakati kujibu maswali yako na kukusaidia katika mchakato mzima.

  • Kitambulisho
5
0

Simu ziite, nunua kiwanja kigamboni buyuni sasa

TZS2,040,000.00 - TZS 10,000,000.00

Miliki kiwanja kigamboni buyuni kwa 2,040,000 tu au kwa malipo ya 120,000 kila mwezi hadi utakapo maliza malipo yote. viwanja vinapatikana kilomita 1.5 kutokea bahari ya hindi na kilomita 1 kutokea barabara kuu

  • No Prerequisites Needed
0
0

Pata Kiwanja Bagamoyo Kerege

TZS7,000,000.00 - TZS 11,000,000.00

Pata kiwanja kilicho pimwa na kilichopo karibu na huduma zote za kijamii

  • Kitambulisho
3
0

Twende tukajenge, nunua kiwanja Ras bamba

TZS30,480,000.00 - TZS 90,675,000.00

Twende tukajenge! unaachaje kujenga karibu na matajiri kwa kununua kiwanja na ulipe kidogokidogo, viwanja vinapatikana Ras bamba- Temeke, huduma zote za kijamii zinapatikana ikiwemo maji, umeme, barabara na majirani pia wapo. 1 sqm ni Tsh. 40,000 kwa malipo ya cash na Tsh. 45,000 kwa malipo ya awamu.

  • No Prerequisites Needed