Miradi Mipya

3
0

Wekeza kwenye ardhi ya kigamboni kimbiji (potea)

TZS3,400,000.00 - TZS 5,958,500.00

  • No Prerequisites Needed
1
0

Mradi wa viwanja Pingo Chalinze

TZS1,966,500.00 - TZS 4,054,500.00

Miliki kiwanja PINGO Chalinze kwa Tsh. 4500/= kwa 1 square meter. Mradi upo 2.9KM kutokea Morogoro road.Malipo yanaweza kufanyika kidogo kidogo, ndani ya miezi 36. 

  • No Prerequisites Needed
5
0

Simu ziite, nunua kiwanja kigamboni buyuni sasa

TZS2,040,000.00 - TZS 10,000,000.00

Miliki kiwanja kigamboni buyuni kwa 2,040,000 tu au kwa malipo ya 120,000 kila mwezi hadi utakapo maliza malipo yote. viwanja vinapatikana kilomita 1.5 kutokea bahari ya hindi na kilomita 1 kutokea barabara kuu

  • No Prerequisites Needed
0
0

Michongo ni mingi ukiwa na Akaunti ya Biashara.

No fee

Michongo ni Mingi ukiwa na akaunti ya Biashara, Fungua akaunti ya biashara (Merchant account), kwa matumizi ya Biashara yako na ufarhie michongo kibao kama vile kutunza akiba kwa matumizi ya baadae ya biashara yako

  • No Prerequisites Needed
0
0

Pata Kiwanja Bagamoyo Kerege

TZS7,000,000.00 - TZS 11,000,000.00

Pata kiwanja kilicho pimwa na kilichopo karibu na huduma zote za kijamii

  • Kitambulisho
3
0

Twende tukajenge, nunua kiwanja Ras bamba

TZS30,480,000.00 - TZS 90,675,000.00

Twende tukajenge! unaachaje kujenga karibu na matajiri kwa kununua kiwanja na ulipe kidogokidogo, viwanja vinapatikana Ras bamba- Temeke, huduma zote za kijamii zinapatikana ikiwemo maji, umeme, barabara na majirani pia wapo. 1 sqm ni Tsh. 40,000 kwa malipo ya cash na Tsh. 45,000 kwa malipo ya awamu.

  • No Prerequisites Needed